Friday, March 16, 2012

Umuhimu wa Vitamin C Kwa Mama Mjamzito


Kwa ujumla Vitamin C inasaidia katika kujenga sehemu za mwili zilizo umia au ambazo zina pona na kuweka ngozi iwe na afya. Vitamin C pia hukinga mwili na infection mbali mbali.

Kwa mtoto itamsaidia kujenga meno na mifupa na itasaidia mwili wa mama mjamzito kuabsorb Iron kwa urahisi zaidi.

Mama mjamzito anahitaji angalu mg 85 za Vitamin C kwa siku, unaweza kuitosheleza kwa kunywa glass ndogo ya juici ya machungwa.  Ukiwa unanyonyesha kipimo hiki kinaongezeka mpaka mg 120

Vyakula vyenye Vitamin C

Matunda jamii ya machungwa, nyanya, brocolli, cauliflower, cabbage, mapili pili hoho na spinach.



Mifano ya jinsi ya kutosheleza mahitaji ya Vitamin C
  • 8oz ya Juice ya machungwa itakupa 124 mg
  • Papaya 1 itakupa 93.9 mg
  • Kikombe kimoja cha strawberries utapata 84.5mg
  • Nusu kikombe cha brocoli 58.2 mg
  • Nusu embe 28.7mg
  • Nyanya moja 23.5 mg
  • Nusu cabbage ya kuchemsha 18.2 mg


No comments:

Post a Comment